KWA WANA MAKUMIRA WOTE
*_SHUKRANI_ _BAADA YA UCHAGUZI*_ Mimi Gwakisa Mwaipopo &Milembe Vedastus tuliokuwa wagombea wa Urais 2018-2019 wa serikali ya TUMaSO tunapenda kutumia nafasi hii kumshukuru Mungu kwa kutupa fursa ya kugombea nafasi hii ikiwa ni pamoja na kukamilisha mchakato salama. Kipekee, tuushukuru uongozi wa chuo, Tume, Serikali ya TUMaSO, na Wabunge wote. Tunashukuru kwa umakini, na uvumilivu wenu. Aidha, tunapenda kutumia nafasi hii kuwashukuru wana-team wote kwa moyo wa pekee na wa upendo mno. Kwa kweli mm na Milembe hatuna chakuwalipa, Mungu pekee ajua kuwapeni ujira wake. Tunazidi kuwashukuru mno wanafunzi wenzetu wote wa vitivo vyote kwa kutuunga mkono kwa asilimia 28% ya kura zote. Kwetu tumeona mlivyo-Play your part. Tumeona mlivyo muunga mkono Mhe. Chacha kwa asilimia 32% hakika mmetimiza wajibu wenu wa Kikatiba. Aidha, tunapenda kuwashukuru mno kwa kumuunga mkono Mhe. Lameck Rais Mteule wa serikali ya TUMaSO kwa kumuunga mkono kwa 38...