Posts

Showing posts with the label trending News

MAMILIONI YA DK SHIKA YATUA NCHINI RASIMI HIZI NDIO MIPANGO ZAKE

Image
                             Angalia hapa

MENEJA WA DIAMOND ATIWA MBARONI KISA DENI LA MILIONI 250

Image
Mkurugenzi wa Kampuni ya Tip Top Connection ya jijini Dar es Salaam na Meneja wa Msanii Diamond Platnumz,  Hamis Taletale ‘Babu Tale’, ametiwa  mbaroni na kufikishwa mahakamani na Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam kwa amri ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es  Salaam. Babu Tale amekamatwa kufuatia amri iliyotolewa Februari 16, 2018 na Naibu Msajili wa Mahakama  Kuu Kanda Maalum, Wilbard Mashauri iliyoelekeza kukamatwa mtuhumiwa huyo na ndugu yake, Idd Taletale. Amri hiyo pia, ilielekeza watakapokamatwa wapelekwe Gereza la Ukonga wakiwa wafungwa wa kesi ya madai, hadi hapo mahakama hiyo itakapotoa maelekezo mengine. Hata hivyo, Babu Tale hakuweza kupatikana na ndipo mahakama hiyo ikatoa amri nyingine kama hiyo Aprili 4 mwaka huu. Tangu hapo wamekuwa wakitafutwa bila mafanikio hadi jana alipokamatwa. Mahakama hiyo iliwaamuru kumlipa Mhadhiri wa Dini ya Kiislamu, Sheikh Hashim Mbonde kiasi cha Sh250 milioni, baada y...

TENGENEZA PESA KWA KUTUMIA MBs TU BILA YA MASHARTI YOYOTE

Image
                                                                  BOFYA HAPA FUATA MAELEKEZO HAPO CHINI UKISHINDWA NIFATE INBOX KWA 0752579739 Tengeneza pesa ukiwa na MB tu kwa kubofya hapo chini utafuata maelekezo utafungua account kwa kuingia sehemu iliyo andikwa registration upande wako wa kushoto utatengeneza user name na password unayoipenda wewe mwenyewe baada ya kutengeneza account yako bofya sehemu iliyo andikwa START WATCHING PAYED ADS baada ya hapo utaletewa namba 4 utajaza sehemu inayo stahili hivo hivi itakuwa mwendelezo wa kujaza namba nne kadri unavyo jaza ndivyo hivyo unavyolipwa ukitazama upande wa kushoto chini ya user name yako kuna sehem imeandikwa EARNS sasa kadri unavyo zidi kujaza hzo namba ndvyo hivyo hlyo sehem inazid kuongeza earns kutoa pesa yako mpaka utimize dollar 150 kisha utabofya sehem...