MLIPILI ATANGAZWA KUWA MCHEZAJI BORA SIMBA



Na Francis kiwali


Beki Yusuph Mlipili ametangazwa kuwa mchezaji bora wa mchezo wa leo kwa Simba dhidi ya Tanzania Prisons uliopigwa Uwanja wa Taifa.

Mlipili ameshinda kufuatia kura zilizopigwa na mashabiki wa timu hiyo zilizopigwa kupitia kurasa za mitandao ya kijamii (Facebook, Twitter na Instagram) za Simba.

Mchezaji huyo amekuwa bora huku timu yake ikifanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Wajelajela hao wa Mbeya.

Ushindi huo umeifanya Simba izidi kunusa ubingwa wa ligi kwa kufikisha pointi 58 kwenye msimamo msimu huu.

Comments

Popular posts from this blog

YANGA YASAFIRI NA HAWA TU , WENGINE WOTE WABAKI NCHINI

YANGA YAJIBIWA HIVI NA TFF KUHUSU KUOMBA KUJITOA KAGAME CUP

MASHINDANO MENGINE TOFAUTI NA KAGAME KUANZA 29, JUNE SIMBA NA YANGA NDANI RATIBA NZIMA HII HAPA